💃🎤 Paroles de chanson Française et Internationnales 🎤💃

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Rayvanny
Titre : Shikwambi
Ooooh… Ooooh

Eti umedataa
Amekuka mataa
Nyani kwenye mitego umenasa eeh

Ye ni chuma we sumaku kakuvutaa eeh
Unapiga bapa ya Savana
Club mabatani mwaongozana
Kumbe shikwambi wadanganywa
Unafuga wenzako wala nyama

Viatu vyako umeshona
Ye unamwonga vingi vingine havai
Unamwonga ananona
Na bado anawengi kwa hiyo usijidai
Viatu umeshona
Ye unamwonga vingi vingine havai
Unamwonga ananona
Na bado anawengi kwa hiyo usijidai

Shikwambi (Shikwambi)
Uyo Shikwambi  eeh
Ale Shikwambi

Uyo Shikwambi  eeh

Ana sura nyingi
Za majonzi za furaha
Asikutekee eeh
Na ana plan nyingi
Za kukuteka utoe chapaa
Na ni mapepee
Una tuma vocha kwa mikogo
Kumbe ana chat na Chogo
Wenzako wana kula nzima we robo
Pungoza michecho na shobo

Viatu vyako umeshona
Ye unamwonga vingi vingine havai
Unamwonga ananona
Na bado anawengi kwa hiyo usijidai
Viatu umeshona

Ye unamwonga vingi vingine havai
Unamwonga ananona
Na bado anawengi kwa hiyo usijidai

Shikwambi (Shikwambi)
Uyo Shikwambi  eeh
Ale Shikwambi
Uyo Shikwambi  eeh

Kuna wengine kawateka
Asikuteke nawe
Kua makini usidanganywe
Akiwa yuko nawe
Maanra muongo ooh
Maana muongo Shikwambi
Ana longo longo ooh
Longo longo Shikwambi

Viatu umeshona aah
Unamwonga ananona
Shikwambi
Uyo Shikwambi  eeh
Ale Shikwambi
Uyo Shikwambi  eeh
Yeah shikwambi Raymond baby
Uyo Shikwambi  eeh