Niiii, niiini, niii? Niiii, niiini, niii? Je nataka kuwa na nini? Nauliza mnataka kuwa na nini? Wasomi mnataka kuwa na nini?
Kanisa linataka kuwa na nini? Ndipo mjue yametimia
Dunia hey, kama kulemewa Imelema sana Dunia hey, kama kuanguka Imeanguka sana
Hivi mnataka kuwa na nini? Ndipo mjue yametimia Dunia inataka kuwa na nini? Ndipo mjue Mungu anasema
Ona akili za wenye akili Zimefika kikomo jamani Maarifa ya wenye akili Yameshindwa kabisa Hekima ya wenye hekima haisaidii kitu
Hivi mnataka kuwa na nini? Nauliza mnataka muone nini? Ndivyo mjue Mungu anasema
Bado, bado, bado bado bado Kama ni mapito, bado bado Kama ni magonjwa, bado bado Kama timbwili timbwili, bado na bado Kama ni heka heka, bado bado Msishangazwe na ya leo, bado bado
Baragumu ya kwanza imekwisha kupigwa Dunia ijipange Baragumu ya kwanza imekwisha kulia Kanisa lijipange Na hapa ndipo penye imani na subira Ya watakatifu wajipange
Wenye masikio na wasikie neno hili Roho asema mjipange Na bado, bado, bado ni ishara tu
Basi inueni macho yenu Tazama vilele vimeinama Wafalme wamechanganyikiwa Wenye akili hawana la kufanya Manabii maono yamekoma Ufunuo maono yamekoma Ayaa sasa dunia yote mikono juu Semeni Mungu pekee ndiye Bwana
Basi inueni macho yenu Tazama vilele vimeinama Wafalme wamechanganyikiwa Wenye akili hawana la kufanya Manabii maono yamekoma
Ufunuo maono yamekoma, bado
Nani basi asimame, mbele za Mungu aseme Alete moja nyingine ashindane na Mungu tuone
Maneno ya Mungu kamwe hayatapita Nasema mjipange Kengele ya hatari imeshakwisha kulia Nasema mjipange Bado, bado, bado ni ishara tu
Bado, bado, bado bado bado Na magonjwa bado, bado bado bado Na shida bado, bado bado bado Njaa na matetemeko, bado bado bado Msishangazwe na ya leo, bado bado bado Msisitishwe na ya leo, bado bado bado Ah nasema bado, bado bado bado