Nafurahia mateso yangu Ujapo haribika mwili huu Tapata mwingine kwa baba Nakaza mwendo nifike mbinguni Nayakabidhi maisha kwa bwana
Nikauone uzuri wa bwana Tabu na matatizo hakuna Kiu wala njaa hakuna Kabisa aah Lakini mji ule taa yake Ni mwana kondoo Milele mji ule hauhitaji Jua wala mwezi Najua kwishi kwangu ni Kristo Kufa ni faida Lakini waongo na wazinzi Hawataingia Wanaowaabudu sanamu Hawataingia Najua kwishi kwangu ni Kristo Kufa ni faida