đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Ruby
Titre : Alele
Its Bob Manecky..  Heeh yeaah...

Nikisema nitakufa
Kisa mapenzi, moyoni nitamkosea
Wanayadhani nina ufa

Hakuna mwenzangu, nyumba inamdondokea

Mi najua
Sina dhamani kwako utanikumbuka
Nishatenda wema
Mi nakwenda zangu utanikumbuka

Poleza na moyo we, mwaya we
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba
Najua atalipiza

Pole sana moyo, mwaya
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu,baba
Najua atalipiza

Alele, nishalia

Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...

Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...

Kwa mitaa jamaa anaandamana
Kweli mapenzi yanaliliwaa
Niliachaga drama na ujana
Eey yeah...

Yalianzaga enzi
Ikanenaga na nafsi acha nivumilie

Jamani mapenzi
Yamekuwa hadithi acha nisimulie

Poleza na moyo we, mwaya we
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba
Najua atalipiza

Pole sana moyo, mwaya
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu,baba
Najua atalipiza

Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...

Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...