đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Ruby
Titre : Dakika Moja
Oooh oooh
Hey yeiii yeah

Sukari imegeuka chumvi
Aka amegeuka chui

Matope yamekuwanga vumbi
Maziwa yamegeuka tui

Upendo na baba ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana
Upendo hauna dhamani, hey

Upendo na mama mama ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana
Upendo hauna dhamani

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo

Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Aaaah....

Naona kama me nachomwa na jua
Usiku mkali, na maradhi naugua
Unanichanganya, navyo sema  nazingua

Kisasi na salary, me nawaza nawazua

Aaah, si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba
Si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba

Hee
Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake
Na mabaya yamo humo

Dunia ina maajabu yake
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Mwambie azibe nyufa
Akichelewa nitakufa

Hey
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa