Yeah, reputation ni same Gang ingemblain ningekuja na ndeng´a I can´t believe this day Nilitoka jail nikakujiwa na dem
Hii ni ya day ones pekee Morio anzenza Madenge madingo, plus mapinji Wa Mukuru kwa Njenga
Reputation ni same Gang ingemblain ningekuja na ndeng´a I can´t believe this day, Nilitoka jail nikakujiwa na dem
Hii ni ya day ones pekee Morio anzenza Madenge madingo, plus mapinji Wa Mukuru kwa Njenga
Mi huzoza mamzinga Zile kali kali kama shuzi za simba Mnabonga mtanishika shati
Kwa keja ya mabati Mmejificha wapi?
Mi huwanga na dinga Lakini bado mi huenda rotejo huko Mtindwa Huezi nitishia life Mi nilikuwa na du street na party party Nyi mkivishwa nappy
Mi ni Rong Rende, boy machachari Say it to my face unabeef kina nani? Oooh my gosh samahani Nimeitisha bado mboga plus ugali flani
Hizi side miracle hazifanyikagi Msee aliniroga aliniacha ka amenilaani Rap game haitaki chali Na usishangae mbona! Ju ni mimi nimei-marry
Lay down flat, stay in your lane Incase haujajuwa utapepetwa Serial killer hatu-fightingi terror In short tume upgrade weapon
Fake ass niggas, back biting haters Kazi ni ku-update status Wivu juu ni serial paper chasers Kwa kila bus station, BS hadi Afya Centre
Mi sichezi wazeiya Mi ukinicross utagenya Kuna dem anashinda akiteta Akikuja asipate mbogi kwa keja
Fine gyal lakini huwezi sema Pia yeye ni jeshi ya kusumbua feds in Kenya
Mayengs hunipenda Shori denga anataka kuchukua selfie tena
Sisi zetu ni hustle Acha tukuwachie we king castle Managerr alirudishwa home Ju promoter alidai kumeet doshi in person Niko kuber na mandom, eeh Pale Instagram I wrote this caption Munga mi hutembea na machrome Ata nisipo-act Utavuliwa na kovi vihasho
Siendi, siendi Waambie watafute plan B Ndio nikuje watume kwa Pay Bill Nyi mapromoter siwapendi Shughli kubwa huku spending
Hakuna kitu fupi ka wikendi Ongea bas, what you can´t be Appearance, 10Gs
Nikizoza hawapendi Hii ni ya Gikomba na ni Fendi Huku ni kubaya nimeona mengi Mpaka manugu malaya washenzi I never knew they will play me Namaanisha kwa radio na telly eey Revenue looking crazy Nitakodesha ka Benzo na Bently
You talk much hautendi Youth fund iko pending You fvck niggas just can´t be Serious bullsh*ts trending Eey these old niggas can´t bear me
These new niggas ain´t family aah These old niggas can´t bear me These new niggas ain´t family
Nakuwanga rob On the low but naeza burn na Boy Kidogo nikang´e banga wine Nikiwa mtoi nilikuwa na gun za toy
Obey babe(yeah) Obey babe .... Ka ni mbali mi nafika, sijali na hali Mi mkali niko ndani ndani Kamari nafika bei Bila chali nafika nafika bei till Diani
Mtoto fulani, bei kali Lakini rhyme flow fiti ka Yeezy How many times imma tell you this
I need a nigga like Kanyari He making na money He making na mummy go low
Ka cheese nitakulwo Filing nda lengo File nda brew her The brewery Bella Rosa Cheki manzi bila ring Jegi fiti, bila fake Wanadai kunifeel
Obey baba hii ni real Obey baba hii ina killer Aki ya nani na kill If ulionaga kwa misitu Panda miti bila kitu eey
Listen! Ati ma slay ni wale wa Obey baba bado mimi ndo ule wa Shika hiyo ladha, taste fiti kama Lager Haga seti kama ladha, fika hiyo bei
Reputation ni same Gang ingemblain ningekuja na ndeng´a I can´t believe this day, Nilitoka jail nikakujiwa na dem
Hii ni ya day ones pekee Morio anzenza Madenge madingo, plus mapinji Wa Mukuru kwa Njenga
Reputation ni same Gang ingemblain ningekuja na ndeng´a I can´t believe this day,
Nilitoka jail nikakujiwa na dem
Hii ni ya day ones pekee Morio anzenza Madenge madingo, plus mapinji Wa Mukuru kwa Njenga