Ningekuwa na mali Magari ya kifari Bila amani Ninajivunia nini ? yeah
Pesa nyingi Nyumba na biashara Bila amani, yeah yeah
Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako Kwa maumivu tena umeshikilia imani zako Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako Polee
Duniani sipakujivunia jina Wala mavazi ya heshima Bali neno la uzima litatuongoza vyemaaa
Chorus: Mwezenu mimi jamanii
Najivunia kuwa na yesu Vya dunia nimeviacha mbali Najivunia kuwa na Yeye
Yesuu Pekee yake anasimama Najivunia kuwa na Yesu Mfalme wa wafalme Najivunia kuwa na yeye
Yeye ni mwalimu wa walimu Ananifundisha vyema Yeye ni tabibu wa karibu Napata tiba njema
Yeye ni dereva Anazijua njia zangu baba wo yeye ndie Shujaa
Anishindia vita yangu baba wo
Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako Kwa maumivutena umeshikilia imani zako Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako Na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako Polee
Duniani si pakujivunia jina Wala mavazi ya heshima Bali neno la uzima litatuongoza vyema
Mwenzenu mimi jamani Najivunia kuwa na yesu Vya dunia nimeviacha mbali Najivunia kuwa na yeye
Yesu pekee yake anasimama Najivunia kuwa na Yesu Mfalme wa wafalme Najivunia kuwa na Yesu
Kwa mara hii mungu Aliupenda ulimwengu Akamtoa mwanae wa pekee Ili kila mtu a mwaminie asipotee Bali awe na uzima wa milele
Najivunia kuwa nae
Mwenzenu mimi jamani najivunia kuwa na Yesu Vya dunia nimeviacha mbali Najivunia kuwa na yeye
Yesu peke yake anasimama
Najivunia kuwa na yesu Ninatembea kwa maringo Najivunia kuwa na yeye