đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Walter Chilambo
Titre : Najivunia
Ningekuwa na mali
Magari ya kifari
Bila amani
Ninajivunia nini ? yeah

Pesa nyingi
Nyumba na biashara
Bila amani, yeah yeah

Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako
Kwa maumivu tena umeshikilia imani zako
Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako
na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako
Polee

Duniani sipakujivunia jina
Wala mavazi ya heshima
Bali neno la uzima
litatuongoza vyemaaa

Chorus:
Mwezenu mimi jamanii

Najivunia kuwa na yesu
Vya dunia nimeviacha mbali
Najivunia kuwa na Yeye

Yesuu
Pekee yake anasimama
Najivunia kuwa na Yesu
Mfalme wa wafalme
Najivunia kuwa na yeye

Yeye ni mwalimu wa walimu
Ananifundisha vyema
Yeye ni tabibu wa karibu
Napata tiba njema

Yeye ni dereva
Anazijua njia zangu baba wo
yeye ndie Shujaa

Anishindia vita yangu baba wo

Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako
Kwa maumivutena umeshikilia imani zako
Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako
Na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako
Polee

Duniani si pakujivunia jina
Wala mavazi ya heshima
Bali neno la uzima litatuongoza vyema

Mwenzenu mimi jamani
Najivunia kuwa na yesu
Vya dunia nimeviacha mbali
Najivunia kuwa na yeye

Yesu pekee yake anasimama
Najivunia kuwa na Yesu
Mfalme wa wafalme
Najivunia kuwa na Yesu

Kwa mara hii mungu
Aliupenda ulimwengu
Akamtoa mwanae wa pekee
Ili kila mtu a mwaminie asipotee
Bali awe na uzima wa milele

Najivunia kuwa nae

Mwenzenu mimi jamani najivunia kuwa na Yesu
Vya dunia nimeviacha mbali
Najivunia kuwa na yeye

Yesu peke yake anasimama

Najivunia kuwa na yesu
Ninatembea kwa maringo
Najivunia kuwa na yeye