Eh Mungu asante kwa nchi yetu Tanzania (Asante) Ni wewe uliyeumba mataifa yote Ikiwemo Tanzania
Umetubariki umoja na amani Uzalendo mshikamano Kama bendera inavyopepea Ni ishara ya kwamba Tanzania ni ya amani
Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama Bahari na uoto wa asili na milima Ukatupa amani na uhuru Tanzania Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri
Najivunia kuwa Mtanzania(Najivunia mtanzania) Najivunia kuwa Mtanzania (Mtanzania halisi eeh) Najivunia kuwa Tanzania Najivunia kuwa Tanzania (Nchi nzuri salama) Nchi yangu
Amani tuliyonayo ooh Wengine hawana (Hawana)
Umoja tulio nao Wengine hawana (Hawana)
Hata madini ya tanzanite Huwezi pata mahali pengine Nje ya Tanzania hakuna
Mlima mrefu Kilimanjaro Baraka ya Tanzania Tunajivunia eeh
Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama Bahari na uoto wa asili na milima Ukatupa amani na uhuru Tanzania Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri
Najivunia kuwa Mtanzania (Najivunia mtanzania) Najivunia kuwa Mtanzania (Nchi yenye amani na upendo)
Najivunia kuwa Tanzania (Tanzania salama eeh) Najivunia kuwa Tanzania (Nakupenda Tanzaniia)
Najivunia kuwa Mtanzania (Mimi mtanzania) Najivunia kuwa Mtanzania (Taifa langu salama) Najivunia kuwa Tanzania (Najivunia kuwa tanzania) Najivunia kuwa Tanzania (Eeh nchi yangu)
Tanzania, Tanzania, Tanzania Tanzania, Tanzania, Tanzania