💃🎤 Paroles de chanson Française et Internationnales 🎤💃

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Zee
Titre : Raha
Oh babe eh
Vile unanifanyia mandingo
Ndo nijisikie
Unanikoko-kosha babaa

Oh babe eeh
Penzi nyota tusafirie
Unanitosha
Unanitosha tosha ah

Kila chumba changu kwenye moyo wangu
Ushapanga wee
Kama nikikosa, nikikosa nisamehe

Hata nuru yangu na nyota yangu
Sare na wewe
Usije ukanitosa, ukanitosa nife

We ni dawaaaa
Umeniponya maumivu
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa

Usije ukaruka
Ukasepa nao maana

We ni dawaaaa
Umeniponya maumivu
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka
Ukasepa nao maana

Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha

Umenipa dawa ya sumu ya mapenzi
Nimepagawa na team yako nipe jezi

Nilinde nyumba yako wasifike wezi
Tule baraka za wazazi wako na Mwenyezi

Mwili wote mali yako chezeaa
Ning´inia kwenye bomba lako bembeaaa
Napenda kuona miguu yako vile ukitembea
Napenda ukiongea macho yamelegea

Lazima ntasogea unajua nimekolea
Unanchanganya na michezo ya kitanga
Nyuma ulivojaza ndani moja kanga
Nakukataza mama usiende kwa waganga

Penzi limenichalaza na haujashika panga
Umekalisha wanga haujui kudanga
Umenipiga lock nikitoka kimungu mungu
Raha unazonipa mpaka nahisi kizunguzungu
(Bizy, Bizy)

We ni dawaaaa
Umeniponya maumivu
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka
Ukasepa nao maana

We ni dawaaaa
Umeniponya maumivu
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka
Ukasepa nao maana

Unanipa raha, unanipa raha

Unanipa raha unanipa raha
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha