đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Zee
Titre : Sina
Naalia mambo ni mengi
Sipati jibuu
Naumia visa ni vingi
Maajaribuu

Silali(Haiya)
Nasinziaa kutwa nawaza waza
Hatarii nitajifia
Yaani nawaza waza

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi
Mi na matanga ka popo

Usingizi sina

Hivi ni nani mwenye penzi
La dhati nimpokee(Nimpokee)
Aso kisirani nikivunja
Masharti atanisamehe(Atanisamehe)

Kama yule Sesi na Juma
Hamisi na Mwajuma, wana enjoy
Asiwe kapasta na suma
Chaku nunanuna, sitaenjoyy

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina

Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina